
Benjamin Acheampong: 'Hawawezi kutuchukulia kama wanyama,' asema mchezaji aiyelaghaiwa dola milioni 1
Benjamin Acheampong anasema alidanganywa akatoa dola milioni 1 na klabu moja ya mpira wa soka na amedhamiria kwamba hili halitawahi kutokea tena - hasa na klabu ile ile.
24 Febrero, 2021