
Kim Kardashian na Kanye West wakubaliana kutunza watoto pamoja baada ya kutalakiana
Nyota wa kipindi cha uhalisia katika televisheni nchini Marekani Kim Kardashian aliolewa wa Rappa Kanye West mwaka 2014 lakini aliwasilisha ombi la talaka mwezi Februari.
13 Abril, 2021