BBC Swahili
  • Habari
  • Michezo
  • Video
  • Dira Ya Dunia

Benjamin Acheampong: 'Hawawezi kutuchukulia kama wanyama,' asema mchezaji aiyelaghaiwa dola milioni 1

Benjamin Acheampong anasema alidanganywa akatoa dola milioni 1 na klabu moja ya mpira wa soka na amedhamiria kwamba hili halitawahi kutokea tena - hasa na klabu ile ile.

24 Febrero, 2021

Virusi vya corona: Ubalozi wa Marekani wawaonya watu wanaotaka kusafiri nchini Tanzania

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umeonya wasafiri wanaotaka kutembelea taifa hilo kutofanya hivyo kutokana na uwepo wa maambukizi makubwa ya virusi vya corona na serikali haijatoa takwimu zozote tangu ilipofanya hivyo mwezi Aprili mwaka jana.

24 Febrero, 2021

Virusi vya corona: Zijue habari njema kuhusu corona mwaka mmoja baada ya janga

Mwaka mmoja uliopita niliandika makala juu ya vipengele 10 ambavyo ni taarifa njema juu ya virusi vya corona lengo likiwa ni kuonesha sayansi, ufahamu wa janga hili na ushirikiano ni muhimu katika kukabiliana nalo.

24 Febrero, 2021

Mahakama ya Uchina yaamuru mwanaume kumlipa mke wake kwa kazi za nyumbani

Kesi hiyo ya kihistoria imeibua mjadala kwani imetoa mwangaza kuhusu kazi wanazofanya wanawake wa nyumbani bila malipo.

24 Febrero, 2021

Je ni akina nani wamefariki Tanzania mfululizo kwa kipindi kifupi na kwa sababu zipi?

Walatini wana msemo maarufu; Mors certa, incerta vita. Kwa tafsiri ya Kiswahili maneno hayo yana maana " kifo ni lazima, kuishi ni bahati". Msemo huu mara nyingi humaanisha kwamba katika maisha ya binadamu, jambo la uhakika zaidi kuliko yote mengine ni kwamba kuna siku mwanadamu ataondoka duniani.

24 Febrero, 2021

Fahamu kwanini matukio ya ubakaji na ulawiti yameshamiri visiwani Zanzibar nchini Tanzania?

Matukio ya udhalilishaji wa watoto kama ubakaji na ulawiti si jambo geni huko visiwani Zanzibar. Kwa mujibu wa UNICEF, asilimia 64 miongoni mwa kesi za udhalilishaji, ni udhalilishaji wa kingono kwa watoto visiwani humo.

24 Febrero, 2021

Tetesi za soka Ulaya Jumatano 24.02.2021: Dybala, Henderson, Haaland, Silva, Badiashile, Milenkovic

Mustakabali wa mshambuliaji wa Argentina Paulo Dybala kuendelea kuwachezea mabingwa wa ligi ya Serie A, Juventus haujulikani na mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 anaweza kuuzwa msimu huu. (Mirror)

24 Febrero, 2021

Tiger Woods apata majeraha kadhaa, afanyiwa upasuaji kufuatia ajali mbaya

Tiger Woods amekuwa akifanyiwa upasuaji baada ya kupata ''majeraha kadhaa ya mguu'' katika ajali ya gari mjini Los Angeles.

24 Febrero, 2021

Waridi wa BBC: Mume wangu ana umri mkubwa ndio, lakini mbona liwe tatizo?

Unapokutana na Ciru Njuguna na Greg Twin mara ya kwanza, si rahisi kufikiria kwamba wanaweza kuwa wameoana na wanaishi kama mume na mke.

24 Febrero, 2021

Bitcoin: Elon Musk apoteza taji la mtu tajiri zaidi duniani baada ya thamani ya hisa za Tesla kushuka

Mkuu huyo wa Tesla Elon Musk amepoteza taji lake la kuwa mtu tajiri zaidi duniani baada ya thamani ya hisa za kampuni hiyo ya kutengeneza magari duniani kushuka .

24 Febrero, 2021