BBC Swahili
  • Habari
  • Michezo
  • Video
  • Dira Ya Dunia

Kim Kardashian na Kanye West wakubaliana kutunza watoto pamoja baada ya kutalakiana

Nyota wa kipindi cha uhalisia katika televisheni nchini Marekani Kim Kardashian aliolewa wa Rappa Kanye West mwaka 2014 lakini aliwasilisha ombi la talaka mwezi Februari.

13 Abril, 2021

Mizozo inayozihusisha China,Urusi ,Iran na Korea kaskazini inatishia amani duniani

Uliwemgu umekuwa na muda mrefu wa utulivu isipokuwa mizozo ya vita katika mataifa machache vilivyohusisha nchi katika mabara tofauti miaka ya hapo nyuma.

13 Abril, 2021

Je ukanda wa Afrika mashariki na kati utanufaika vipi na ujenzi wa bomba la mafuta kati ya Tanzania na Uganda

Mradi huu ambao utachukua takribani kilomita 1445 kutoka Uganda mpaka Tanzania unakadiriwa kugharimu kiasi cha dola bilioni 3.5 za kimarekani.

13 Abril, 2021

Ramadhan 2021: Kwanini Uganda imeanza kufunga kufunga leo, huku Tanzania ikianza Kesho

Hii leo, Waislamu nchini Uganda wameanza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan, huku katika mataifa jirani ya Tanzania na Kenya viongozi wake wa dini hiyo wakitangaza kuwa mwezi huo utaanza Jumatano.

13 Abril, 2021

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 13.4.2021: Lingard, Haaland, Sancho, Boateng, Tomori

Juventus wanampango wa kumsajili mshambuliaji wa Barcelona Ousmane Dembele, 23, mkataba wake utakapoisha 2022.

13 Abril, 2021

Fukushima: Japan yaidhinisha kuachiliwa kwa maji machafu ndani ya bahari

Wataalamu wengi wanasema ni jambo la kawaida na ni salama lakini wanamaingira na wakazi hawajafurahia.

13 Abril, 2021

George Floyd: Wamarekani Weusi huwa katika hali gani kwenye mikono ya polisi?

Tumefanya utafiti wa takwimu za rangi na matabaka ya kijamii na ambavyo wanaathirika na mfumo wa utoaji haki na kuzuia uhalifu nchini Marekani.

13 Abril, 2021

Jinsi Misri ilivyomdai mamilioni ya dola mmiliki wa meli iliyoziba mfereji wake muhimu Suez

Meli ya kubeba mizigo ya urefu wa takriban mita 400 kwa jina Ever Given ilikwama kimshazari katika mfereji wa Suez Machi 23 kwa karibu wiki moja na kufunga moja ya njia yenye shughuli nyingi za kibiashara duniani.

13 Abril, 2021

Prince Philip: William na Harry kukutana katika mazishi ya babu yao

Mwanamfalme William anasema Mwanamfalme Philip alikuwa ",tu wa kipekee" huku Mwana Mwanamfalme Harry akisema alikuwa " maarufu na mfano wa kuigwa".

12 Abril, 2021

Prince Philip: Jamii za Vanuatu zinazoomboleza kifo cha 'mungu' wao

Uingereza inapoomboleza kifo cha Mwanamfalme Philip, inajumuika na kabila moja kwenye kisiwa kimoja cha Pasific mbali sana na Uingereza.

12 Abril, 2021